nyuma ya watani zake wa jadi Simba SC.Yanga anapointi 25 huku akicheza michezo 13 huku Simba anapointi 35 akicheza michezo 14 ya ligi kuu Tanzania bara. Kama kawaida wasemaji wa vilabu hivyo Antonio Nugaz wa Yanga na Haji Manara wa Simba walikuwa na haya ya kusema
Haji manara aliandika hivi : "Ktk siku mbili hz Washabiki wa Yanga walikuja kwa wingi sana kunitusi hadi kwa wazazi wangu kisa Simba kafungwa.Sikujibu ila nikamwambia Mungu nilipie hili,,kupitia kagera Wamenilipia yale matusi.
Mungu ww ni zaid ya fundi,ww unajiibu kwa ghadhabu kali,niwasihi Wanasimba wenzangu msiwatusi, wafundisheni ustaraab ,Ntarudi baadae kuliko Nyati.
Antonio Nugaz aliandika hivi: "Football Alhamdulilah Mchezo dhidi ya Kagera Sugar tumepoteza kwa goli tatu kwa bila na Mwalimu LUC ameona mapungufu ya kikosi chetu na naamini atayafanyia kazi Insha Allah Shukran kwa mashabiki wetu kwa Kuja Tukutane Jumamosi saa 1 Usiku Uwanja wa Taifa dhidi Azam Fc..
0 Comments