BETI NASI UTAJIRIKE

MATOKEO NA TIMU ZILIZOFUZU KUCHEZA HATUA YA 16 LIGI YA MABINGWA ULAYA (UEFA)

Michuano ya ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea hapo jana usiku wa kuzikutanisha timu mbalimbali zikicheza raundi a 6 ambayo ni ya mwisho kuweza kufuzu hatua ya 16 bora


Kilichofurahisha zaidi ni timu zote kubwa kufuzu hatua ya 16 na kuongeza radha nnzuri kwa wapenzi wa soka la ulaya huku mechi za  mtoano ikipangwa kufanyika siku ya kesho. haya hapa matokeo ya mechi zilizopigwa jana.


Hizi ndizo timu 16 bora zilizofanya vizuri kweye hatua ya Makundi na kuingia hatua ya mtoano itakayofanyika mwezi februari 2020. kwa mtazamo wako unazipa nafasi timu gani kufuzu hatua ya robo fainali.

Post a Comment

0 Comments