Klabu hiyo ilimpokea kocha huyo kimya kimya na hakuna mtu yeyote aliyeshtukia mchongo mpaka alipotangazwa majira ya saa 7:30 jioni. Klabu ya simba haikutaka kuwanyima mashabiki zake radha halisi ya mgeni huyo hhivyo ilitengeneza video kuonyesha mwanzo mwisho kuwasili kwa Sven VanderBroeck. Hii hapa video kamili.
0 Comments