Kikosi cha wachezaji 22 kimeondoka jioni ya Leo kuelekea nchini Uganda kwenye michuano ya CECAFA 2019 itakayoanza kutumia vumbi tarehe 8 Disemba
Kikosi hicho kimeondoka jioni ya leo kwa ajili ya maandalizi ya mwisho nchini Uganda na kitaanza mchezo wake wa kwanza dhidi dhidi ya Kenya tarehe 8.hiki hapa kikosi kamili
0 Comments