Mara baada ya matokeo hayo Mo Dewji - Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi klabuni hapo na mwekezaji mwenye asilimia 49 alionekana kutofurahishwa na matokeo hayo hivyo aliweka picha onekanayo hapo juu na kuandika
"Usitafute ugumu pasipo ugumu! // Don't look for something difficult that has no hardship!"
Kauli hiyo imeanza kutafsiriwa kama ni ujumbe kwa Kocha na wachezaji wa klabu hiyo. Baadhi ya mashabiki walionekana wakikomenti kwenye peji hiyo kuhoji ujumbe huo unamhusu nani?
'
0 Comments