Hizi hapa ni baadhi ya picha za wachezaji hao walipoondoka jijini Dar es salaam na mpaka wnafika nchini Tunisia kwa ajili ya mchezo huo. Timu hiyo ilisafiri na shirika la ndege la Turkish Airline na walipitia Istanbul kubadili ndege iliyowapeleka moja kwa moja Tunisia
Hizi hapa picha zenyewe
0 Comments