advertise with us

ADVERTISE HERE

MPINZANI WA MWAKINYO ATUA TANZANIA KWA MBWEMBWE

Mpinzani wa Mwakinyo Bondia kutoka nchini  ufilipino  Arnel  Tinampay amewasili nchini Tanzania  akiwa na Daktari wake pamoja na mpishi wake

tayari kwa ajili ya pambano litakolopigwa Novemba 29 mwaka huu katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam

Post a Comment

0 Comments