ads

adds

MKWASA KUWAREJESHA WACHEZAJI WALIOTEMWA NA ZAHERA

Kaimu kocha Mkuu wa Yanga Charles Mkwasa amemrejesha winga Said Mussa kwenye kikosi cha kwanza

Msimu wa 2017/18 Mussa alikuwa kikosi cha kwanza kabla ya Mwinyi Zahera kumrejesha timu ya vijana (Yanga B) msimu uliopita

Katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Coastal Union juzi, Mussa alianzishwa kikosi cha kwanza kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Mrisho Ngasa wenye kipindi cha pili

Kinda huyo huenda akajumuishwa kwenye kikosi cha kwanza dirisha dogo

Post a Comment

0 Comments