Klabu ya Yanga imeitangazia Vita Klabu ya Alliance Fc kuelekea mchezo utakaopigwa jioni ya kesho dimba la nyamagana Mwanza.mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz amenukuliwa
akisema "Mdhamini wetu ambaye ni Msambazaji wa jezi zetu kupitia Brand Chapa GSM kuelekea mchezo wetu dhidi ya Alliance fc ameweka mezani tena ahadi ya pesa taslimu shilingi milioni kumi {10,000,000} kwa ajili ya hamasa ya kupata point tatu muhimu."
Post a Comment
0
Comments
MERIDIAN BET
EURO 2024
Kuanzia tarehe 14 june to 14 july AMOSPOTIXTRA TEAM itakuwa ujerumani kukuletea michuano ya EURO2024
0 Comments