advertise with us

ADVERTISE HERE

MASHINE NYIGINE MPYA YA YANGA HII HAPA

Klabu ya Yanga imejiandaa vyema kumwaga mamilioni kuelekea msimu wa dirisha dogo unaofunguliwa ijumaa ya  tarehe 15-11-2019 na kufungwa tarehe 15-12-2019. 


Inasemekana klabu hiyo imeshaanza harakati za kuwasajili washambualiaji akiwemo  Etekiama Agiti taddy Birori anayecheza nafasi ya ushambuliaji kutoka DR.Congo na ni moja ya mshambuliaji aliyetoka kwenye orodha ya washambuliaji bora wa michuano ya CAF msimu wa 2017-2018.

Tetesi zinasema tayari Yanga na Mchezaji huyo  wameshamalizana na kilichobaki ni kusaini tu mkataba na mabingwa hao wa kihistoria na kutambulishwa kwa wananchi.

Post a Comment

0 Comments