advertise with us

ADVERTISE HERE

HAWA HAPA WANAUME 25 BORA ZAIDI KWENYE SOKA MWAKA 2019

Mtandao wa Goal.com hapo jana tarehe Umetangaza majina 50 ya wachezaji bora zaidi  upande wa mpira wa miguu kwa 2019. Ndani ya listi hiyo kuna wanaume 25 na wanawake




Amospoti imekuletwa listi ya majina 25 ya wanaume waliofanikiwa kuingia kwenye orodh ya Goal 50 awards hiyo huku wachezaji mahili  kama Pogba,Modric na  Neymar wakishindwa kuingia kwenye orodha hiyo kutokana na kushindwa kuonyesha uwezo wa juu zaidi kwa mwaka 2019.

Hii hapa Orodha kamili

1. Virgil Van Dijk- Liverpool , Netherland

2. Lionel Messi -Barcelona , Argentina

3.Mohammed Salah - Liverpool , Egypt

4. Cristiano Ronaldo - Juventus , Portugal

5. Sadio Mane -Liverpool, Mali

6.Raheem Sterling- Manchester City ,England

7. Alison Becker - Liverpool

8.Frenkie De Jong- Barcelona, Netherland

9.Bernado Silva - Manchester City , Portugal

10. Kylian Mbappe- PSG, France 

11.Eden Hazard- Real Madrid , Netherland

12. Mathjis De Light- Juventus ,Netherland

13.Sergio Aguero-Manchester City, Argentina 

14.Son Heung-Min -Tottenham, South Korea

15.Trent Alexander Anord - Liverpool 
,
16.Robert Lewandowski- Bayern Munich , Polland 

17.Roberto Firmino- Liverpool, Brazil

18.Jadon Sancho- Borrusia Dortimund

19.Antoine Griezman- Barcelona ,France

20.Pierre- Emerick- Aubemayang- Arsenal , Garbon

21. Harry Kane -Tottenham , England

22. Dusan Tadic - Ajax, Serbia

23. Andy Robertson- Liverpool , Scotland

24.Marco Reus- Borrusia Dortmund ,Germany

25.Luis Suarez - Barcelona , Uruguay




Post a Comment

0 Comments