Klabu ya Simba imetangaza kufuta rasmi na aliyekuwa kocha Mkuu wa timu hiyo bwana Patrick Aussems.maamuzi hayo yamefikiwa baada ya kikao na kocha huyo
Kilichofanyika hapo juzi.awali Patrick aussems alipewa adhabu ya kutoifundisha timu hiyo na Leo hii Klabu hiyo imepiga chini rasmi
0 Comments