Sababu haswa za kipa huyo kutemwa bado hazijawekwa wazi na haijajulikana ni mechi hizi mbili tu za kufuzu Afcon atazikosa au ndio ameenguliwa kutoka kikosi cha Stars moja kwa moja .
Kocha Anditiye aliita kikosi cha wachezaji 27 na Simba ikitoa wachezaji 7 akiwemo Mohammed Hussein,Gadiel Michael, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, Mzamiru Yassin na Hassan Diunga.
Wapenzi wa soka wamehoji ni kwanini Kipa huyo mahili hajatajwa kwenye kikosi hicho? Au kuna ugomvi kati ya benchi la ufundi na Aishi Manula? .
Kocha Mpya Taifa Stars
Amospoti itakuletea sababu maalumu za kwanini mchezaji huyo amekosa nafasi ndan ya Taifa Stars
0 Comments