advertise with us

ADVERTISE HERE

AZAM YAZITISHA YANGA,MTIBWA NA SIMBA

Klabu ya Azam Fc jioni ya leo ilikuwa na mchezo wa kirafiki idhidi ya Green Warriorsmchezo uliopigwa dimba la chamazi jijini Dar es Salaam

Kwenye mchezo huo uliopigwa  nyumbani kwa Azam ambao waliibuka na ushindi wa mabao 5-0 huku kila mtu akihamaki kipi kimeikumba Green Warriors.

mabao ya azam yalifungwa na  Abdul kassim Khamisi akipiga mawili, Muivory Coast Richard Ella D'jodi bao moja , Mzimbabwe Donald Ngoma bao moja na Mrundi Suleiman Ndikumana akifunga  mmoja.

Azam imeanza vyema msimu huu na inategemewa kuongeza ushindani kwa ilabu vya Simba na Yanga kwenye mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom


Post a Comment

0 Comments