David De Gea na Michael Carrick wakiwa wameshikilia tuzo kwa pamoja
Mchezaji huyo ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu mfululizo na ataendelea kuwepo Old Trafford kwa misimu mingine saba. Sherehe hizo zilihuzuliwa na wachezaji na viongozi mbalimbali wa Manchester United.
Kiungo Fellaine alihudhulia sherehe hizo pia
Kiungo Nemanja Matic aliejiunga mwanzoni mwa msimu huu alijishindia tuzo ya goli bora dhidi ya Crystal Palace.
Alexis Sanchez alihudhuria sherehe hizo pia
Antonio Martial alihudhuria sherehe hizo Beki Phil Jones na mkewe walihudhuria sherehe hizo
Beki Chris Smalling na Mkewe
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Brown akipiga selfie pamoja Jesse Lingard, Paul Pogba na Rashford
Brown na Ashley Young katika picha ya pamoja
Luke show na mkewe
Kinda Scott Mctommy alipokea tuzo kutoka kwa Jose Mourinho kama mchezaji bora wa kochaMourinho alisema " Mchezaji wangu wa mwaka naweza kusema ni David De Gea , hata kama goli kipa hastahili lakini amekuwa na mwaka mzuri kama miaka yote ya nyuma na ameendelea kuwa katika kiwango cha hali ya juu sana kwa hiyo chaguo namchagua kama mchezaji bora kwa hiyo endelea kupambana na ninawasubiri los Angels kwa maandalizi ya msimu mpya.
Wakati huo huo Mourinho aliwamshangaza kila mmoja kwa kutoa tuzo bora kwa mchezaji wa kocha aliyoipata kiungo Scott McTominay na wengi walitegemea kama Pogba aliesajiliwa kwa gharama kubwa kuchukua tuzo hiyo.
0 Comments