advertise with us

ADVERTISE HERE

CRISTIANO RONALDO ATAJWA ZAIDI TUZO ZA FIFA

Cristiano Ronaldo anadalili za kuwa mchezaji bora wa Dunia kwa mara nyingine tena

Cristiano Ronaldo ameongoza katika listi ya wachezaji wanaogombea tuzo za chama cha soka duniani FIFA  zilizotangazwa hivi karibuni  zikijumuisha wachezaji mbalimbali. katika kinyang'anyiro hicho Ronaldo amewaongoza  Lionel Messi na Neymar . Kama atanyakua tena tuzo hiyo itakuwa ni mara ya pili mfululizo na hakuna mwenye tuzo hiyo zaidi yake.
Tuzo hizo zitatolewa mwezi oktoba 23 jijini London Uingereza.
Kwa upande wa makocha kocha wa Chelsea Antonio Conte, Zinedine zidane na Massimiliano Allegri.

Listi ya tuzo  mbalimbali 

1. Mchezaji Bora wa Mwaka                 
Cristiano Ronaldo ( Real madrid,Portugal)
Lionel Messi (Barcelona, Argentina)
Neymar  (PSG,Brazil)

2.Kocha wa mwaka 
massimiliano Allegri (Juventus)
Zinedine zidane (Real madrid)
Antonio conte (chelsea
3.Golikipa wa mwaka 
Gianluigi Buffon (Juventus)
Keylor Navas (Real Madrid)
Manuel Neur (Bayern Munich)
4.Goli bora la mwaka 
kelvin Boateng (Las Palmas)
Alejandro Camargo (univasidad
 Moussa Dembele (celtic)
Olivier Giroud (Arsenal)
Mario Mandzukic (Juventus)
Aviles Hurtado (Tijuana Xolos)
5.Tuzo ya mashabiki bora 
Borrusia Dortmund
Celtic
FC Coppenhagen
6.Mchezaji Bora wa kike
Deyna castellanos (Venezuela)
Caril Lloyd (USA)
Lieke Martens (Netherland)


Post a Comment

0 Comments