advertise with us

ADVERTISE HERE

CHELSEA , ARSENAL ZASHINDWA KUTAMBA DARAJANI

Chelsea na Arsenal zimeshindwa kuonyeshana umwamba baada ya mechi kumalizika kwa sare tasa  bila kufungana, matokeo hayo yanaiacha Chelsea    nafasi ya tatu nyuma ya Manchester United   yenye pointi 10 sawa chelsea ikiwa na  mchezo mkononi dhidi Everton  utakaochezwa jioni hii. Arsenal imeshuka mpaka nafasi ya 12 ikipishana pointi 6 na Manchester city  
 Chelsea na Arsenal zitakutana tena tarehe 1 januari mwakani  katika dimba la Emirates.

Post a Comment

0 Comments