advertise with us

ADVERTISE HERE

BREAKING NEWS: YUSUF MANJI AACHIWA HURU NA MAHAKAMA

mahakama ya kisutu imemwachia huru mwenyekiti mstaafu wa Yanga bwana Yusuf Manji katika kesi ya uhujumu uchumi. hatua hiyo imefikiwa na mahakama hiyo baada ya mkurugenzi mkuu wa mashtaka (DPP) kuwasilisha hati akionyesha kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka  dhidi ya Manji na wenzake.
Manji hajazungumzia suala hilo na amesema anahitaji kupumzika kwa sasa, Je manji atarudi katika bodi ya Yanga kuendelea na udhamini na uongozi?tusubiri tuone

Post a Comment

0 Comments